RAIS, DKT MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA RAIS WA KENYA, MHE.UHURU KENYATTA
RAIS, DKT MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA RAIS WA KENYA, MHE.UHURU KENYATTA
Rais wa Kenya,Mhe. Uhuru Kenyatta akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Kenya,Balozi Pindi Chana mbele ya Zawadi ya ndege aina ya Tausi mara baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo. August 02,2019


