News and Events Change View → Listing

Prof. Prof. Patrick Loch Otieno Lumumba alipotembelea Ofisi za Ubalozi

Prof. Patrick Loch Otieno Lumumba atembelea ofisi za Ubalozi

Prof. Patrick Lumumba amtembelea Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana Ofisini kwake na kujadiliana masuala mbalimbali.

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ahudhuria Mkutano wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR)

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana alihudhuria Mkutano wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) uliofanyika tarehe 8 Septemba 2019 na kutoa Hotuba kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Mabalozi wa SADC nchini Kenya".…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana achukua rasmi uenyekiti wa Mabalozi wa kutoka nchi za SADC

Tarehe 30 Agosti 2019, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana alichukua rasmi uenyekiti wa Mabalozi wa kutoka nchi za SADC na kuongoza Kikao cha Mabalozi hao. Kikao kilifanyika katika Hoteli ya Sankara iliyopo Nairobi.…

Read More
Rais wa Kenya,Mhe. Uhuru Kenyatta akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Kenya,Balozi Pindi Chana mbele ya Zawadi ya ndege aina ya Tausi mara baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo. August 02,2019

RAIS, DKT MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA RAIS WA KENYA, MHE.UHURU KENYATTA

RAIS, DKT MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA RAIS WA KENYA, MHE.UHURU KENYATTA

Read More

UBALOZI WA TANZANIA NAIROBI WASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA USHINDI WA TAIFA STARS

UBALOZI WA TANZANIA NAIROBI WASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA USHINDI WA TAIFA STARS

Read More

Online VISA Application (e-VISA)

This is to inform all Visa applicants and the general public that the United Republic of Tanzania has launched Online Visa Application System effective since 10th Jan, 2019. For those who wish to travel…

Read More

NOTICE TO TRAVELLERS PLANNING TO VISIT TANZANIA

NOTICE TO TRAVELLERS PLANNING TO VISIT TANZANIA

Read More

Timu ya Taifa ya Baseball imetembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya.

Timu ya Taifa ya Baseball leo imetembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya na kupokelewa na Mhe. Balozi Dr. Pindi Chana. Balozi amewaasa wachezaji kucheza kwa hali ya juu na hatimaye waliwakilishe vema Taifa…

Read More