News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S , Bw. Steven Barry tarehe 27 Februari 2019.

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S

Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S , Bw. Steven Barry tarehe 27 Februari 2019.

Read More

Mkutano wa kuhamasisha uwekezaji kwa watanzania waishio nchini Kenya

Mkutano wa kuhamasisha uwekezaji kwa Watanzania waishio nchini Kenya ( Diaspora ) wafanyika tarehe 7 Agosti 2018 katika Ofisi za Ubalozi. Wawakilishi kutoka Kampuni ya Property International na Benki ya Equity…

Read More

Mkutano wa Balozi Dkt. Pindi Chana na Watanzania Waishio Nchini Kenya ( Diaspora)

Mkutano wa Watanzania Waishio Nchini Kenya ( Diaspora) na Balozi Dkt. Pindi Chana wafanyika tarehe 30 Juni 2018 katika Makazi ya Balozi yaliyopo Muthaiga, Nairobi.

Read More
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi na kujionea utekelezaji wa shughuli za Ubalozi hususan zile za Kitengo Cha Uhamiaji.

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi na kujionea utekelezaji wa shughuli za Ubalozi hususan zile za Kitengo Cha Uhamiaji.

Read More
Balozi Dkt. Pindi Chana amemtembelea Waziri wa Kilimo na Umwagiliaji wa Kenya Mhe. Mwangi Kiunjuri leo tarehe 16 Aprili 2018.

Balozi Dkt. Pindi Chana amtembelea Waziri wa Kilimo wa Kenya.

Balozi Dkt. Pindi Chana amemtembelea Waziri wa Kilimo na Umwagiliaji wa Kenya Mhe. Mwangi Kiunjuri leo tarehe 16 Aprili 2018. Katika mazungumzo yao, viongozi hao walikubaliana kuimarisha ushirikiano katika…

Read More
Make in Tanzania Week in Kenya April 25th to 28th, 2018

Tanzania Week in Kenya April 25th to 28th, 2018

In June 2016, the Fifth phase of the Government of the United Republic of Tanzania, led by His Excellency John Pombe Joseph Magufuli, launched the Five Year Development Plan (2016/17-2020/21) with the Theme…

Read More
Balozi Pindi Chana atembelea Mpaka wa Horohoro Leo na kukutana na Maafisa wa mpakani.

Balozi Pindi Chana atembelea mpaka wa Horohoro

Balozi Pindi Chana atembelea Mpaka wa Horohoro Leo na kukutana na Maafisa wa mpakani.

Read More
Makamu wa Rais akimpongeza Rais Kenyatta kwa kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya kenya katika uwanja wa Moi Kasarani Mjini Nairobi. Mhe. Samia Suluhu Hassan amemwakilisha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Makamu wa Rais Awasili Nairobi Kumwakilisha Rais Magufuli Kwenye Sherehe za Kuapishwa Rais Kenyatta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo asubuhi tarehe 28 Novemba, 2017 amewasili Mjini Nairobi nchini Kenya ambako anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More