Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S , Bw. Steven Barry tarehe 27 Februari 2019.
Read MoreMhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S , Bw. Steven Barry tarehe 27 Februari 2019.
Read MoreMkutano wa kuhamasisha uwekezaji kwa Watanzania waishio nchini Kenya ( Diaspora ) wafanyika tarehe 7 Agosti 2018 katika Ofisi za Ubalozi. Wawakilishi kutoka Kampuni ya Property International na Benki ya Equity…
Read MoreMkutano wa Watanzania Waishio Nchini Kenya ( Diaspora) na Balozi Dkt. Pindi Chana wafanyika tarehe 30 Juni 2018 katika Makazi ya Balozi yaliyopo Muthaiga, Nairobi.
Read MoreKamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi na kujionea utekelezaji wa shughuli za Ubalozi hususan zile za Kitengo Cha Uhamiaji.
Read MoreBalozi Dkt. Pindi Chana amemtembelea Waziri wa Kilimo na Umwagiliaji wa Kenya Mhe. Mwangi Kiunjuri leo tarehe 16 Aprili 2018. Katika mazungumzo yao, viongozi hao walikubaliana kuimarisha ushirikiano katika…
Read MoreIn June 2016, the Fifth phase of the Government of the United Republic of Tanzania, led by His Excellency John Pombe Joseph Magufuli, launched the Five Year Development Plan (2016/17-2020/21) with the Theme…
Read MoreBalozi Pindi Chana atembelea Mpaka wa Horohoro Leo na kukutana na Maafisa wa mpakani.
Read MoreMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo asubuhi tarehe 28 Novemba, 2017 amewasili Mjini Nairobi nchini Kenya ambako anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Read More