Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa (UNON) nchini Kenya Mhe. Dkt. Bernard Y. Kibesse, ameungana na Mabalozi wa Nchi mbalimbali pamoja na wageni waalikwa kusheherekea Siku ya Kiswahili Duniani.